Image captionBw Pence (kati) alitazama Korea Kaskazini kutoka kijiji cha mpakani Panmunjom
Bw Pence alisema hayo alipozuru eneo ambalo haliruhusiwi kuwa na wanajeshi katika mpaka wa Korea Kaskazini na Korea Kusini.
Ziara yake imetokea kipindi ambacho hali ya wasiwasi imeendelea kutanda katika rasi ya Korea, huku Marekani na Korea Kaskazini zikijibizana vikali.
Bw Pence aliwasili mjini Seoul Jumapili saa chache baada ya Korea Kaskazini kutekeleza jaribio la kurusha kombora, ambalo halikufanikiwa.
Jumatatu, Marekani na Korea Kusini zilianzisha mazoezi ya pamoja ya majeshi yake ya wanahewa, kuhakikisha kwamba wanajeshi wake wako tayari kwa tishio lolote kutoka kwa Korea Kaskazini, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Korea Kusini.
Bw Pence, ambaye babake alipigana katika Vita vya Korea, alikuwa akihutubu katika kijiji cha Panmunjom siku ya Jumatatu.
Muungano wa serikali ya ujeramani umetoa maelekezo ya namna gani mipango ifanyike ili kubana sheria za wanaotafuta makazi baada ya kuingia kwa zaidi ya wahamiaji milioni moja mwaka jana.
Makamu kansela wa Ujerumani, Sigmar Gabriel amesema wale walioingia kwa vikwazo hawataruhusiwa kuleta ndugu zao nchini Ujeremani kwa kipindi cha miaka miwili.
Kansela huyo alisema nchi tatu ;Algeria,Morocco na Tunisia zitakuwa salama na mataifa hayo yanategemea kuwa na uwezo wa kupokea wakimbizi.
vilevile kuna hatua nyinginge mpya ambazo zitatumika ili kuharakisha kuwaondoa waliokosa hifadhi.
Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema limeena picha za setilite zinazoonyesha mamia ya raia wa Burundi kuuawa na baadae kuzikwa katika kaburi la watu wengi.
Amnesty limesema sehemu za picha hizo zinaonyesha makaburi ya watu wengi yapatayo matano katika eneo la Buringa viungani mwa mji mkuu wa Bujumbura.
Shirika hilo linaongeza kuwa uchunguzi wao wa kitaalamu unafanana na ule ambao wameupata kutoka kwa mashahidi kuwa kuna makaburi mengine ya pamoja ya watu waliouwawa siku ya tarehe 11,desemba,siku ambayo ilishuhudia machafuko makubwa mjini Bujumbura.
Ripoti hiyo imekuja siku chache kabla ya mkutano wa viongozi wa umoja wa Afrika kukutana kujadili hatima ya mgogoro wa Burundi huko Ethiopia.
Mgogoro wa Burundi ulianza april mwaka uliopita, wakati ambapo raisi Pierre Nkurunzinza alipotangaza kuwania nafasi ya uraisi kwa awamu ya tatu na kuchaguliwa tena kuwa raisi mwezi july mwaka wa jana.
Mshirika wa karibu wa rais wa Nigeria Muhammadu Buhari amerejesha dola laki tano ambazo anadaiwa kupokea kutoka kwa aliyekuwa mshauri wa maswala ya usalama nchini humo Sambo Dasuki kulingana na gazeti la Daily Trust nchini humo.
Lawal Jafaru Isa,mmoja wa viongozi wa chama tawala cha All Progressive Congress,alikamatwa wiki iliopita katika uchunguzi wa dola bilioni 2 za ununuzi wa vifaa vya kijeshi ili kulikabili kundi la wapiganaji wa Boko Haram ,ambazo zilitoweka wakati wa uongozi wa aliyekuwa rais wa taifa hilo Goodluck Jonathan.
Bwana Isa alikuwa mtu wa karibu wa Bwana Buhari kukamatwa kuhusiana na kashfa hiyo.
Alituhumiwa kupokea dola lakini nane na hamsini kutoka kwa bwana Dasuki.
Vyombo vya habari vya eneo hilo vimeripoti kwamba ameachiliwa baada ya kuahidi kurudisha kitita cha dola laki tatu na hamsini zilizosalia.
Bwana Isa amesema kuwa alipewa fedha hizo kumnunulia nyumba bwana Dasuki na kwamba hakujua fedha hizo zilitoka kwa serikali.
Bwana Dasuki hajatoa tamko lolote kuhusu madai hayo ya bwana Isa lakini amesisitiza kuwa hakufanya kosa lolote.
Bwana Dasuki ambaye ni mwandani wa karibu wa aliyekuwa rais wa taifa hilo,ameshtakiwa kwa madai ya kuzipeleka ,mahala kwengine fedha za serikali.
Amekana kutekeleza makosa hayo.
Viongozi kadhaa wa upinzani wanakabiliwa kuhusu ufisadi huo.
Takriban watu 17,000 wameuawa kaskazini mashariki mwa Nigeria wakati wa mashambulizi ya miaka sita ya kundi la boko haram ili kubuni serikali ya kiislamu.
Vikosi vya Usalama nchini Misri vimewapiga risasi washukiwa wawili wa Islamic State baada ya kuvamia hoteli moja kwenye mwambao wa bahari nyekundu ya Hurghada.
Watali 3 kutoka Ulaya walijeruhiwa katika shambulio hilo ,baada ya wanamgambo hao kuingia kwenye hoteli na kuwakabili wageni huku wakipeperusha bendera nyeusi ya IS .
Eneo la tukio hilo lilifungwa kwa uchunguzi.
Ni shambulio la pili katika eneo hilo linalopendwa na watalii hasa nyakati za mapumziko ambapo shughuli za utalii zimedorora tangu kudunguliwa kwa ndege ya Urusi mwezi Novemba mwaka jana na kile ambacho IS ilitaja kuwa ni bomu
Waziri Mkuu wa
Japan Shinzo Abe ameitisha mazungumzo ya amani kati yake na Rais wa
Urusi Vladimir Putin kujadili mkataba wa Amani kati ya nchi hizo mbili.
Mataifa
hayo mawili hayakutia saini mkataba wa amani baada ya kumalizika kwa
Vita Vikuu vya Pili vya Dunia kutokana na mzozo kuhusu umiliki wa visiwa
vinne.
Bw Abe ameambia wanahabari kwamba viongozi wote wawili
wanakubaliana kwamba ni jambo la kushangaza kuwa mkataba huo haujatiwa
saini kwa miaka 70.
Tangu achukue uongozi 2012 Bw Abe amekuwa akijaribu kuimarisha uhusiano kati ya Tokyo na Moscow.
Muungano wa Usovieti uliteka visiwa kadha ambavyo Japan huviita Northern Territories mwaka 1945. Urusi huviita Southern Kurils.
Viongozi hao wawili walijadili suala hilo mara ya mwisho 2013.
Nchi hizo mbili zilirejesha uhusiano wa kidiplomasia mwaka 1956.
"Bila
mkutano mkuu, tatizo la visiwa vya Northern Territories haliwezi
likatatuliwa,'' alisema, alipokuwa akihutubia wanahabari kikao cha Mwaka
Mpya.
Aliongeza kwamba ataendelea kuzungumza na Bw Putin “kila fursa inapotokea”.
Maafisa wa Ulinzi wa Kenya wamenasa shehena kubwa ya silaha, kufuatia operesheni ya kuwasaka wapiganaji wa Al Shabaab Kaskazini mwa Kenya.
Idara ya polisi imesema kuwa maafisa wake walinasa risasi, vilipuzi, bunduki na vifaa vinavyotumika kutengeneza mabomu ambazo zinaaminika kuwa ya wapiganaji wa Harakat walio na uhusiano na kundi la Al Shabaab nchini Somalia.
Wapiganaji kadhaa wa kundi hilo ambao walikuwa wakisafirisha silaha hizo, walikamatwa na wanazuiliwa na maafisa wa polisi.
Kundi hilo linasemekana kuwa na majukumu ya kuwasilisha na kutoa mafunzo kwa wapiganaji wapya na hatya kujiunga na mapigano na mashambulio dhidi ya vituo vya umma.
Kukamatwa kwa shehena hiyo ya silaha ni pigo kubwa kwa kundi hilo la al-Shabaab. Katika kipindi cha miezi kadhaa iliyopita wapiganaji wa al shabaab wamejaribu kuingiza silaha na kufanya mashambulio nchini Kenya.
Maafisa wa ulinzi na upelelezi nchini Kenya wameimarisha juhudi zao ya kupambana na kundi hilo kwa kuwakamata washukiwa wa kundi hilo na hata kushambulia kambi zao.
Wapiganaji kadhaa wa kundi hilo kwa sasa wanazuiliwa na polisi.
Kamati itakayoamua ikiwa mwanariadha wa Afrika Kusini, Oscar Pistorius, anapaswa kuachiliwa kutoka gerezani, inatarajiwa kukutana tarehe 18 mwezi ujao.
Waziri wa haku nchini humo, alizuia mwanariadha huyo kuachiliwa siku ya Ijumaa wiki iliyopita kama ilivyokuwa imetarajiwa.
Waziri huyo amesema kuwa uamuzi wa kamati hiyo ya kutoa msamaha wa kumuachilia mwanariadha huyo, baada ya kutumikia kifungo cha miezi kumi ya kifungo chake cha miaka mitano ulitolewa mapema na haina msingi wowote.
Mahakama nchini humo ilimpata Pistorius na hatia ya kuua bila kukusudia mpenzi wake Reeva Steenkamp mwaka wa 2013.
Pistorius alimpigia risasi Steenkamp akiwa bafuni nyumbani kwake mjini Pretoria, baada ya kumshuku kuwa ni mwizi.
Upande wa mashitaka umekataa rufaa ya hukumu hiyo ukisema kuwa Pistorius anapaswa kuhukumiwa kwa mauaji.
Mawakili wa Pistorius wanatarajiwa kuwasilisha nyaraka zao kupinga rufaa hiyo tarehe 17, mwezi ujao, siku moja tu kabla ya kamati hiyo ya kutoa msamaha kukutana.
Marekani imemuonya rais wa Sudan Kusini Salva Kirr, kuheshimu na kutekeleza mkataba wa amani aliousaini siku ya Jumatano mjini Juba.
Rais Kirr, alikuwa amekataa kusaini mkataba huo wiki iliyopita mjini Adis Ababa Ethiopia.
Lakini, licha ya kusaini mkataba huo, ameelezea wasi wasi wake kuhusiana na masuala kadhaa ya mkataba huo, hasa kugawana madaraka na waasi.
Mkataba huo unanuiwa kumaliza mzozo uliodumu kwa muda wa miezi Ishirini.
Usitishwaji wa mapigano unapaswa kutekelezwa katika muda wa saa 24 na majeshi ya kigeni yanapaswa kuondoka nchini humo.
Hakuna wanajeshi watakaoruhusiwa kufika karibu na mji mkuu Juba.
Kiir ambaye alikabiliwa na shinikizo za kimataifa kuidhinisha mkataba huo anatarajiwa kuunda serikali ya umoja wa kitaifa na kiongozi wa waasi Riek Machar.
Massive explosions have hit China's northern port city of Tianjin, leaving at least 17 people dead and hundreds more injured.
State media said the blasts happened in a warehouse storing "dangerous and chemical goods" in the port area of the city.
Pictures and video on social media showed flames lighting up the sky, and buildings are said to have collapsed.
Hospitals are reported to be overwhelmed with casualties.
President Xi Jinping has urged "all-out efforts to rescue victims and extinguish the fire", state broadcaster China Central Television (CCTV) reported.
CCTV said a shipment of explosives had detonated but this was not confirmed.
The first explosion at about 23:30 (15:30 GMT) on Wednesday was followed by another seconds later. Shockwaves were felt several kilometres away.
The editor of the BBC's Chinese Service, Raymond Li, says all indications are that it was an industrial accident.
The China Earthquake Networks Centre said the magnitude of the first explosion was the equivalent of detonating three tons of TNT, while the second was the equivalent of 21 tons of the explosive.
CCTV said more than 400 people had been injured while Tianjin's municipal government said 11 of the injured were in a critical condition.
John Sudworth, BBC News, Beijing
Some of the still photographs being posted online really give a sense of the damage. People are showing internal doors ripped off their hinges and glass is scattered everywhere inside apartments.
The most upsetting images are from the surrounding streets and from hospital waiting areas showing some of the injured - parents carrying injured children.
Hospitals are clearly struggling to cope with this huge influx of casualties.
Hours later, fires were still burning and 100 fire engines were at the scene, reportedCCTV.
Two firefighters were "out of contact", and four were among the injured, Xinhua said.
One witness, named only as Ms Yang, told local media she was out shopping when "suddenly from behind there was a big fireball and explosion".
"At the time of the explosion the ground was shaking fiercely, nearby cars and buildings were shaking, a few buildings' glass all broke and everyone started to run," she said.
"Now all the residents are gathered in the street."
Another witness, Canadian teacher Monica Andrews, told how she woke in panic after what she thought was an earthquake.
"I... looked out the window and the sky was red. I just watched a second explosion go off and [it was] just pure chaos, everyone leaving their apartment buildings thinking it's an earthquake, cars trying to leave the complex. It was crazy," she told the BBC.
China National Radio said cracks were visible in buildings near the site of the blast.
Several tower blocks near the port area are without power, CCTV added.
Tianjin, home to some 15 million people, is a major port and industrial area to the south-east of the Chinese capital, Beijing,