Shilole,Eddy Kenzo wa Uganda penzi jipya.
Shilole na Nuh Mziwanda enzi ya penzi lao.
‘’Nuh hanipendi Eddy Kenzo ndio ananipenda,ameniimbia wimbo nilikuwa
sijui,naomba mjue kuwa ndiye mchumba wangu mpya,’’Alisema Shilole.‘’Eddy Kenzo amenipenda tangu zamani lakini nilikuwa nikimpuuzia tu maskini ameonyesha upendo wake kwangu hadi kaimba wimbo kwa ajili yangu unajua sio kitu kidogo msanii mkubwa Afrika kuniimbia wimbo mimi amechukua tuzo ya BET mwaka huu,ananipenda na mimi nampenda sana,’’Alisema Shilole.
No comments:
Post a Comment