Friday, November 20, 2015

HOTUBA YA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DR.J.P. MAGUFULI YAWA GUMZO,WAPINZANI WATOLE WA NJE

RAIS WA TANZANIA DR. J. P. MAGUFULI
Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli leo amefungua bunge la 11 rasmi huku akiwasihi wab unge kuungana kwa umoja wao ili kuwahudumia wananchi nakuacha vijembe ambavyo havilengi kusaidia wananchi.Akiendelea kuhutubia Mh.Magufuli ameongeza kuwa ahadi zake alizozitoa wakati wa kampeni atazitimiza na Mungu amsaidia,akiendelea kuzungumza amesisitiza kuwa ni lazima ELIMU itolewa bure kuanzia shule ya msingi hadi kidato cha nne.
         Hata hivyo wakati akitambulishwa rais wazanzibar Dr.Shein w,wabunge wa upinzani walianza kupiga makelele na hivyo kupelekea Spika wa Bunge kuwaondoa ndani ya bunge.

No comments:

MUSIC