Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwaonesha orodha ya Makatibu na Manaibu Katibu Wakuu aliowateua huku Waziri Mkuu Kassim Majaliwa pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue wakishudia.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue Mara baada ya kumkabidhi orodha ya Makatibu na Manaibu Katibu Wakuu aliwateua leo Ikulu jijini Dar es Salaam
ORODHA YA MAKATIBU WAKUU NA MANAIBU KATIBU WAKUU
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu katika Wizara mbalimbali.
Walioteuliwa ni kama ifuatavyo;
- Katibu Mkuu Kiongozi
- Katibu Mkuu Ikulu
- Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora
- Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI)
Dkt. Deo Mtasiwa (Naibu Katibu Mkuu – Afya)
Bernard Makali (Naibu Katibu Mkuu – Elimu)
- Ofisi ya Makamu wa Rais
Mhandisi Ngosi Mwihava (Naibu Katibu Mkuu)
- Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge, Sera, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu)
Mussa Uledi (Katibu Mkuu Bunge)
Dkt. Hamis Mwinyimvua (Katibu Mkuu – Sera)
- Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi
Dkt. Mashingo (Katibu Mkuu Mifugo)
Dkt. Budeba (Katibu Mkuu – Uvuvi)
- Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
Dkt. Leonard M. Chamuliho (Katibu Mkuu – Uchukuzi)
Profesa Faustine R. Kamuzora (Katibu Mkuu – Mawasiliano)
Mary Sassabo (Naibu Katibu Mkuu Mawasiliano)
- Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Dkt. Moses Kusiluka (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Maliasili na Utalii
Anjelina Madete (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Viwanda, Biashara na Uwekezaji
Profesa Adolf F. Mkenda (Katibu Mkuu – Biashara na Uwekezaji)
Mhandisi Joel Malongo (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi.
Profesa Simon S. Msanjila (Naibu Katibu Mkuu)
Dkt. Leonard Akwilapo (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto
Sihaba Nkinga (Katibu Mkuu – Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto)
- Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
Nuru Halfan Mrisho (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Maji na Umwagiliaji
Mhandisi Kalobero Emmanuel (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Nishati na Madini
Profesa James Epifani Mdoe (Naibu Katibu Mkuu)
Dkt. Paulina Pallangyo (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Katiba na Sheria
Suzan Paul Mlawi (Naibu Katibu Mkuu)
Amon Mpanju (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Mambo ya Ndani
Balozi Hassan Simba Yahaya (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Fedha na Mipango
Dorothy Mwanyika (Naibu Katibu Mkuu)
James Dotto (Naibu Katibu Mkuu)
Amina Hamis Shaban (Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Mambo ya Nje, Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa
Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi ( Naibu Katibu Mkuu)
- Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa
Immaculate Peter Ngwale (Naibu Katibu Mkuu
Makatibu wakuu na Manaibu Katibu Wakuu wote ambao hawajatajwa katika orodha hii watapangiwa kazi nyingine.
Katika hatua nyingine Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Bw. Eliakimu Maswi kuwa Kaimu Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na ametengua uteuzi wa Naibu Kamishina wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Bw. Lusekelo Mwaseba, ambaye atapangiwa kazi nyingine
Gerson Msigwa
Kaimu Mkurugenzi wa Mawasiliano, IKULU
30 Desemba, 2015
No comments:
Post a Comment